http://www.fizi-itombwe.org

   230 messages   
Vous devez saisir des informations valides
Wilondja Ndabelo Joh
Ninashukuru kila mara ninaposoma mawazo na maoni ya ndugu zangu wote. Kweli kama tunavyoandika ndivyo tutakavyofanya maana yake hata USA haina kitu mbele yetu. Kuwa dola kubwa kisiasa na kiroho pia ni jambo la ajabu na linapashwa kushugulikiwa ili litimilike. Comme ma recommandation; soyons unis et aimons-nous les uns des autres et nous trouverons le bonheur que notre ABECA PUNGU nous reserve pour un avenir merveilleux. Tusiwe wasemaji tu bali tutimize tunayosema,hiyo itatusaidia. Mutambue kama gouvernement ya Congo haina mawazo juu ya FIZI ese 'ya BABONDO na watu wote hao wanasahahu kama ni kwa ajili ya wana wa Kalembelembe ndiyo maana Congo wana haka ka amani kadogo...tujikaze keleta sisi wenyewe maendeleo na kujenga mkowa wetu. Ninawasihi sana muzidi kutuombea Mungu wa Mababu zetu ili huku tunakosomea tupate kibali machoni pa wakuu viongozi wa mashule na kuweza kuendelea vema. Bila maombi yenu,hatuwezi kuwa jinsi tunavyofikiri kuwa. ABECA PUNGU A BABONDO ATUHELELE BECUTUBOSE.Namuko.
NGOLOSENGE
Mungu mkubwa,mungu wa mababu zenu anasema.Na itangazwe kwa wammbondo wote katika ulimwengu wote.
ALEMBE,ALEMBE, ALEMBE LONGE.
Imeletwa na kutamkwa na mungu wawa mmbondo kupitia mababu zetu.
NB//Mungu Mkubwa,mungu wa wa mmbondo,maana yake (Mungu wa watu).Imefunuliwa yakwamba mmbondo,maana yake MTU HALALI.
NGOLOSENGE
Pasipo hivyo;vita havita isha katika inchini ya Fizi kalembelembe,na mwishowe,woote mutahama maskani yenu,na kuwa wakimbizi,myaka elfu,mukitangatanga ulimwenguni,mpaka siku mutakubali,kutembelea sheria za mungu wa mababu zenu,kupitia mababu zenu,yaani,milima,mitoni,ziwa na pori(mw?ilongo).
Mungu mkubwa atawafunulia vyote,popote munapopatikana wa mmbondo,katika ndoto,unabii,maonyo,mababu (OCI)na katika ishara mbalimbali.
Wale walio katika mazehebu za wageni,watajikuta wamepata vipaji mbalimbali vya kiroho,hata wenzio wa dini wata wachukia na kusema wanaleta kitu kingine mu imani yao,nao watatengwa,lakini itakuwa mapenzi ya Mungu Mkubwa,mungu wa mababu zenu.
Mutakapo tawala inchi,tafazali musiwe wauwaji;ufalme wenu ni wa amani milele,katika ulimwengu wote,na ni pa fizi kalembelembe ndiko wengine watakuja kuonea mfano.Na mujue yakwamba hamutashinda kwa vita vya silaha za kimwili,ila neno tu katika umoja na upendo kutoka kinywani mwenu inatosha.
Mungu mkubwa,mungu wa mababu zenu anasema.Na
NGOLOSENGE
Mukutanishe wami wote wa asili,kuanzia ekongo (kigongo) mpaka looa(lukuga)lomonge(rumonge)mpaka ekoma(kigoma)talama mpaka mienge(mwenga).Kule kote kumetawanyika wa mmbondo,muwape neon moja hii ya unabii wa kizazi hiki,ili umoja na upendo urudi katikati yenu.Mtu asiseme kwa jina la kabila ao familia lake,museme ajili yaw ammbondo wote.Mtu asiseme kwa jina la zehebu lake wala elimu zake,ila asili iliyo takatifu yawa mbondo wote,iliyo funuliwa na mungu mkubwa,kupitia mababu zetu watakatifu.
Wambondo wanapashwa sasa tawala inchi wakipendana.wakiisha pendana kweli na kuwa na umoja;hakuna taifa wala kabila itakayo jiinua ajili yao kwa vita,wala kwa upinzani wowote,ki uwezo,ki elimu,hata ki uchumi.Ndipo mutapokea kila mgeni anaye ishoi kwenu kama zamani,woote wakitembelea sheria na mikataba yaw a mmbondo,wakipata pia mibaraka hiyohiyo;kwa sababu muna amani nao.Pasipo hivyo;vita havita isha katika inchini ya Fizi kalembelembe,na mwishowe,woote mutahama maskani yenu,na kuwa wakimbizi,myaka elfu
NGOLOSENGE
Mufundishe watoto wenu lugha yao ya asili tangu kuzaliwa,na mujue jina za milima na mitoni yote ya fizi.Mupatie watoto wenu majina ya ukoo zao,hatakama wana majina za kigeni,na wale hawana jila la asili wapewe hizo jina upesi.
2)Muheshimu wami na kukubali mwami tutakaye chagua kusimamia wami wenu wote,na huyu mwami ataonekana ako alama ya ajabu na wote watamuheshimu ki asili.hiyo ni jukumu ya mungu na mababu watafanya.
3)Muwe na kiongozi mtawala(leader politique).
Huyu atawale inchi bila shaka.Tutamjua je?Wakati atasikia hii ujumbe,atajitambua,kwa sababu tumekwisha kumtumia ma ujumbe nyingi kama hizi;naye angali na sitasita kwani hana uhakika na wa mmbondo,pia anasema hamna mali yakutosha kwakutawala inchi.Angalisho;jipe moyo.
Mungu wa wa mmbondo hana jina linguine;anaitwa LOONDO yaani UPENDO.Anaitwa BUMO yaani UMOJA.Muache kuiga imani za mataifa zingine,hazita waendelesha kiroho,wala kimwili.
Mukutanishe wami wote wa asili,kuanzia ekongo (kigongo) mpaka looa(lukuga)lomonge(rumonge)mpa
NGOLOSENGE
Mali ya fizi,ijenge fizi kalembelembe,na baadae muwe chombo cha amani na mibaraka kwa mataifa zingine mutakazo saidia,kuanzia kabila na inchi za kandokando yenu,yaani majirani wa fizi kalembelembe.
Katika kiroho,nyinyi ni matajiri wa kwanza katika dunia nzima.Katikati yenu kuna waakili wakubwa watakao vumbua ujuzi mupya hadi kupata uwezo wa wanaadamu wakuzidisha miaka ya kuishi,pia kuponya kila magonjwa.
Dunia nzima itakuja hapa fizi kalembelembe kuuliza majira na yatakayo fanyika ao kutukia mbele;kwani ni hapa fizi kalembelembe njo kuna ufunguo wa UKUHANI pia UNABII;BARAKA pia LAANA.
Mutakapo jua kwa nini ahadi zote za mungu mkubwa hazitimiliki kwenu upesi;ni kwa ajili ya kukosewa upendo kati yenu na kulipisha kisasi bila ruhusa ya mungu mkubwa wenu,na kukosa mwami ao bami ya asili.
Munacho ombwa ni hiki;
1)Mujenge lubunga kubwa ya wabembe wote hapa Baraka.Na kila mungini kuwe lubunga.Hapo mutatuita na sisi tutaitika.Mufundishe watoto wenu lugha yao ya asili tangu kuzaliwa,na mujue ji
NGOLOSENGE
Labda mutajiuliza,sisi wa mmbondo niwanani ili tutangaze ufalme wa amani milele kwa ulimwengu?Kwanza sisi ni maskini kimwili,tena kabila letu linazarauliwa na kuonelewa na makabila zingine zote jimboni na inchini mwetu.
Ndio,nyinyi munajiona maskini kimwili,ao maskini ki roho;lakini hakuna mutajiri duniani kama vile mmbondo;kwani katika inchi yenu hii,muna mali nyingi,nyingi,nyingi saana,wala wataalamu wakutafuta mali,hawajajua vizuri nini munaikalia,na wakati watavumbua aina za mali munazokuwa nazo,hakika dunia yote itapata wivu,na watawagombanisha saana,ili wawanyanganye udongo huu wa fizi,wala wauunge katika majimbo zingine ao inchi zingine,ili waizibiti vizuri.watasema hii ni mali ya ulimwengu wote,sherti ilindwe na umoja wa mataifa tu.
Humu fizi,mutatokea mali yenye haikuwake popote ulimwenguni;njo kwa maana,haifae kuuzisha ovyo udongo wa fizi,wala kukubali taifa ao kabila zingine watawale fizi.Mali ya fizi,ijenge fizi kalembelembe,na baadae muwe chombo cha amani na mibaraka kwa m
NGOLOSENGE
KWA JINA LA MUNGU MKUBWA MUUMBA WA MBINGU NA DUNIA,MUNGU WA MABABU ZETU.BARAKA le7/7/2008
Kwa wa mbondo(wabembe wote wanao tawanyika ulimwenguni pote na wale wanao kaa katika udongo takatifu ya Fizi.Salaama iwe nanyi wote.
Nifuraha kubwa saana katika mbingu na dunia,kuona leo tariki saba mwezi wa saba wa mwaka huu (2008),nyinyi wazaliwa wa fizi,mumekusanyika tena kwakuomba uongozaji toka kwangu mimi muumba wenu,kupitia njia ya mababu zenu.Hii ndio siri kubwa ya umungu,pia nguvu za mataifa zote,zilizo na nguvu,pia maendeleo na raha ku dunia ya leo,kwahiyo tunasema aksanti.
Kabla hamuja sema chochote,tunajua shida zenu wabembe,taifa takatifu.Mupende musipopenda,nyinyi ni taifa takatifu na mumebarikiwa kati ya mataifa ulimwenguni na katika bara lote la afrika,ili mutangaze ufalme wa amani wakudumu milele,utakao anzia hapa fizi na kuenea ulimwengu wote.
Labda mutajiuliza,sisi wa mmbondo niwanani ili tutangaze ufalme wa amani milele kwa ulimwengu?Kwanza sisi ni maskini kimwili,tena kabila l
Peter Sikas
fellicitation pour votre systeme de Makelelesho Ombele qui permet les Babondo de reunir leurs idees enssemble et de les avoir pratiquer pour que nous puissions avancer aulieu de recurer.Je voudrai tirrer l'attention de Babondo de cette maniere ici que:"La Zone de Fizi a besoin de moi et toi pour la developper".C'est `a dire que chacun de nous devra avoir soife de fournir ses efforts et ses petits propre moyens,pour faire quelque chose de demonstration dans notre zone qu'elle soi plus attrayante a l'image du monde. Ignorons l'idee d'avoir esperer tel ou tel personne pour l'avoir developper.Parce que en esperant les autres,nous risquerons de recolter toujours des deceptions chaque jour.Je souhaiterer que chaque Mmbondo partout la ou il(elle)est actuellement,soit dans le pays d'origine et surtout ceux qui se trouvent dans les pays etragers de connaitre que: "HAKUNA JIWE LITAKALO KAA JUU YA JIWE LINGINE".Mtu na kwao. NB:"LUMOLOSUKU TULUBU'A 'WETU,'UMANYE NIBO 'UKANGYELWA MMAFIKA".
Wilondja Ndabelo Joh
Monsieur Amirado,tes idées sont nobles ,et méritent un soutien moral que financier...de ma part,je veux vous mettre en contact permanent avec notre VIEUX BIBLIOTHEQUE ABEKYAMWALE EL.Joel que nous les étudiants qui évoluons ici à Goma nous frequentons tout le temp...il est fort... tout le monde le sait. OMBE AMUHELELE BOSE. +243853732761,+243993079254.