If you're on Facebook and you are M'mbondo can you please join the Group KWETU FIZI (www.facebook.com)
Even if we're living away, don't forget where you are from.
mangi wa mangi
mangi wa mangi
14-11-2008 10:58:00
If you're on Facebook and you are M'mbondo can you please join the Group KWETU FIZI on (www.facebook.com)
Even if we're living away, don't forget where you are from.
mangi wa mangi
lulobi
11-11-2008 17:05:00
hello eveyone babembe community. i read news about D R congo. if Tutsi rebellion oust kabila government then tutsi will seize and cut part of fizi and mwenga's territories to call large territory of minembwe. i know the tutsi community always do violent constitution of D R Congo. tutsi reduced bantu populations and clean tribes.
lulobi
10-11-2008 19:45:00
http://www.anthroposys.be/bwamenotes.htm
you may read it above
Basunga M'massa Jean
07-11-2008 08:11:00
Ukweli ni kua, kuna maoni mengi yanayo onyesha Wabondo mambo mengi yahusuyu mali zinazo patikana hapa Fizi. Nauliza Wabondo kua, mpaka sasa nini kinacho fanyika ili kuifadhi mali hiyo? Sababu, mali haizaake, na wenzetu wanaipora na kujitajirisha na mali hiyo. kwaiyo ningeomba Wabondo tusifanye kama vile kipepeo anavyo fanya, kuzibiti kinyesi (mavi) ambacho hakimfai kwa lolote. Vijana wetu hapa Territoire ya Fizi ni wazembe, wafanya siasa za chini ya miti na wanao zarau kila jambo kupita kiasi.
Kwaiyo nafikiria kua, kati ya majibu kwa kujitoa katika umasikini huo, napendekeza yafuatayo:
1. vijana walio na nguvu, tungejitaidi kufanya kazi kwa bidii na kujitolea,
2. Acceptation mutuelle (maridhiano),
3. Kuacha ubaguzi usio faa,
4. Kujua na kuelewa Territoire yetu,
5. Kufuata mila na desturi nzuri za Wabondo.
Namaliza kutoa shukrani zangu za dhati kwa Wabondo wote wanao jitolea kwa kila hali na mali kwa ajili ya maendeleo ya watu wetu.
Basunga M'massa Jean
(+243) 81 28 658 48
NYAMA-CABO SELEMANI
04-11-2008 06:59:00
Lengo langu ni kutaka kujua nini wa bambe tunajifikiriya kufuatna na mambo yanayopita huko kwetu. Sababu mpaka sasa hatujajua msimamo halisi wa serikali yetu na nia ya Laurent Nkunda. Je tutaendelea tunapigana kila siku bila kujua kinachoendelea? Tutaendelea kukubali kutawaliwa na wanyarwanda ao kudanganywa nao?
mangi wa mangi
31-10-2008 14:54:00
Why people are so quiet these days,
we need to read more from you Brothers
aoci dieudonnee
06-10-2008 14:40:00
brothers and sisters unity and creation of university, bank, strong regime, protecting land of Fizi and Itombwe community are found in South Kivu. defend yourself.
asmani aluta
28-09-2008 21:54:00
hi bembe community, you may create wealthy and found your own mbondo university and mbondo bank in fizi, south kivu. protecting babembe community.